Yaheshimu na uyatunze maisha uliyopewa na Mungu, maana maisha yako ni ya thamani sana kuliko kitu chochote ulichonacho. kumbuka kwamba kesho yako inatengenezwa leo, na pia ukiwa kama kijana inawezekana kujitunza na kulinda heshima aliyokupa Mungu.
You are so Precious than Gold.

No comments:

Post a Comment

Katika maisha yako usisikilize watu wanasema nini bali msikilize Mungu anasema nini, kwa sababu watu hawajui ni nini ambacho Mungu amekupang...