UJUMBE WA LEO

Silaha hutengenezwa wakati wa amani japo hutumika wakati wa vita.
wakristo wengi wakati wa amani hawaombi ila mambo yakibadilika kidogo hufunga na kuomba na muda huo mambo yanakuwa yameharibika.

No comments:

Post a Comment

Katika maisha yako usisikilize watu wanasema nini bali msikilize Mungu anasema nini, kwa sababu watu hawajui ni nini ambacho Mungu amekupang...